Odds Za Leo

 


Mechi ya leo:

Azam V Young Africans SC

Hii ni mechi nzuri sana na ya ushindani siku hii ya leo katika uwanja wa Benjamin William Mkapa, ambapo kila mmoja anataka matokeo kupata pointi 3 za kujiongezea nafasi ya kunyakua ubingwa wa ligi kuu Tanzania.

Azam anatamani kupata point 3 kutoka kwa Yanga maana ni moja ya mpinzani wake mkubwa katika mbio za ubingwa. Pia Azam anatamani kulipa kisasi cha kipigo alichopewa na Yanga katika mzunguko wa kwanza cha 3-2. 

Yanga anatamani kushinda mechi hii ili kujikita zaidi kileleni kuwaacha Azam aliye nafasi ya pili na Simba aliye nafasi ya tatu. 

Utabiri wetu:

Young Africans SC - WIN

Comments